Hii sinema feki ya Ali Kiba

Hii sinema feki ya Ali Kiba

Tena kile kiazi kikuu.Hata hivyo usiumize kichwa huyu anajipoza maumivu jinsi Kiba anavyompa presha domo.

Sina team lakin bado cwez tetea ujinga kama huu, huwa nasikikita sana kuona m2 mmoja mjingamjinga anamtukanisha msanii coz hta huyo diamond mwenyew cdhan kama anaweza ongea laana km hii, ifike hatua mkiona comments za kijinga km hz badala ya kushabikia team mdeal na hawa wajinga wachache, coz diamond has nothing to do with such nonsense!!! Huyu ni desparate empty head fan asiejua maana ya kuwa fan na pia pengne hajajua maisha ni nin so kubishana na wa2 km hawa wote mnawapa kick !
 
Sina team lakin bado cwez tetea ujinga kama huu, huwa nasikikita sana kuona m2 mmoja mjingamjinga anamtukanisha msanii coz hta huyo diamond mwenyew cdhan kama anaweza ongea laana km hii, ifike hatua mkiona comments za kijinga km hz badala ya kushabikia team mdeal na hawa wajinga wachache, coz diamond has nothing to do with such nonsense!!! Huyu ni desparate empty head fan asiejua maana ya kuwa fan na pia pengne hajajua maisha ni nin so kubishana na wa2 km hawa wote mnawapa kick !

Noted! Sometimes nakupendaga sana.
 
Ifike mahala hawa wasanii waende shule.

Eti hata huyu shilole na nuhu zile broken english ni kiki.

Ujinga.
 
Wako watu wa4 wametujazia kurasa wanaulizana wenyewe na kujijibu wenyewe,haya ngoja na mi niwaongezee ALLY KIBBA NDO MSANII MILIONEA ANAUTAJIRI WA $ 857 MILION AFRICA NZIMA,ANATUZO ZA KIMATAIFA 284 SHOW YAKE YA MWISHO DAR LIVE ALILIPWA $ 340 MILION,NA ILE SIKU ALIIBIWA TSH. 532 MILION ANA SAUTI NZURI KULIKO HASSANI BICHUKA NA HATA MAREHEMU TX MOSHI WILLIAM HAINGII ANAPIGA VYOMBO VYOTE VYA MUSIC NA HIVI KARIBUNI ANA ZINDUA KIWANDA CHAKE CHA KUTENGENEZA CEMENT
 
Tatizo lenu mnakariri maisha,ipo siku mkiambiwa fulan na fulani ni wapenzi basi mtataka picha zao wakifanya mapenzi ndio msibitishe, acheni kuongea, vitu ambavyo hamna uhakika navyo
yy mwenyew ndio alisema kavamiww akaishia kuonesha milango ya bei rahis iliyovunjwa lakin hakuoneshwa majeruh hata mmoja alafu ukimdadisi zaid anakua mkali sana alafu anatoa majibu kama ya lundenga wakati wa sakata la siti
 
.Majambaz wamezid sana wa nne sasa hawa 20 kwel kiba anatuzingua japo na me ni mshabik wa kiba,ina maana anataka kututengenezea ma #environment tuamin kuwa daimondo kamtumia
 
yy mwenyew ndio alisema kavamiww akaishia kuonesha milango ya bei rahis iliyovunjwa lakin hakuoneshwa majeruh hata mmoja alafu ukimdadisi zaid anakua mkali sana alafu anatoa majibu kama ya lundenga wakati wa sakata la siti

Muacheni kiba wangu
 
Alafu kuna ndugu yake alisema majambazi walikua 8 yani hawaelewi idadi kamili.
 
Wako watu wa4 wametujazia kurasa wanaulizana wenyewe na kujijibu wenyewe,haya ngoja na mi niwaongezee ALLY KIBBA NDO MSANII MILIONEA ANAUTAJIRI WA $ 857 MILION AFRICA NZIMA,ANATUZO ZA KIMATAIFA 284 SHOW YAKE YA MWISHO DAR LIVE ALILIPWA $ 340 MILION,NA ILE SIKU ALIIBIWA TSH. 532 MILION ANA SAUTI NZURI KULIKO HASSANI BICHUKA NA HATA MAREHEMU TX MOSHI WILLIAM HAINGII ANAPIGA VYOMBO VYOTE VYA MUSIC NA HIVI KARIBUNI ANA ZINDUA KIWANDA CHAKE CHA KUTENGENEZA CEMENT

mkuu umetisha
 
Alafu kuna ndugu yake alisema majambazi walikua 8 yani hawaelewi idadi kamili.

Ndugu yake yupi?.mimi ndo ndugu yake na siku ya tukio nilikuwepo na nilipigwa sana iyo siku na hawakuwa ishirini tuu kwa kile kipigo itakuwa walikuwa wamezidi......afu na walikuwa na silaha nzito nzito....
Hutaki unaachaa
 
Ali k for real
d5f256ec5182c1033be3be528d5343e1.jpg
 
kumtukana msanii kisa tu wewe si shabiki wa music au lolote analofanya mi naona ni matatizo ya akili kwa sabu hata huyo unaemshabikia hana anachokusaidia nae anafanya music kutibu njaa we all need the same thing guys achen unazi kuna huyo mtu anaongea vibaya sana kuhusi diamond kwani allykiba music wake anafanyia ulaya au!?
 
Hahahaha huo wimbo ni mzuri hatari na umempandisha sana Kiba, alafu kuna watu wakawa wanaponda cjui beat la kuiga, mara sijui wimbo hauna maana, wengine sijui kabana pua sana. Wabongo kwa kuponda hawajambo alafu ukute hao walioponda kwenye simu zao huo chekecha ndiyo wameweka ringtone kabisa

Umeona eeeeh kiba kichwa bana achaaa
 
Domo anasubiri Kiba akitoa tu kichupa chake ku boost wimbo wake wa cheketu na yeye anaachia ft p square full package audio na video

Mtavunja ma apple mwaka huu maana nazi zimepanda bei
 
Hivi Ali Kiba na Ndomo wanalingana kweli? Mi sioni ulinganifu japo najua Kiba anasubiri sana kwa Lidomo! Lidomo yuko levo ingine kwa sasa! Kiba yeye alie tu na McMugan!

Domo yuko juu kuliko wasanii wote hapa bongo sio kiba tuu. Huu ukweli wapuuzi hawataki kuusikia sijui inawasaidia nini... ni ujinga kuamini kiba anamzidi domo japo kiba sio mbaya. Tukubali tuu kwani sio dhambi
 
Domo anasubiri Kiba akitoa tu kichupa chake ku boost wimbo wake wa cheketu na yeye anaachia ft p square full package audio na video

Mtavunja ma apple mwaka huu maana nazi zimepanda bei

Uzuri wa Kiba anajiamini na haendeshwi na matukio wala panic na hafanyi mashindano na yoyote only that ana maturity zaidi teh teh teh.
 
Ndugu yake yupi?.mimi ndo ndugu yake na siku ya tukio nilikuwepo na nilipigwa sana iyo siku na hawakuwa ishirini tuu kwa kile kipigo itakuwa walikuwa wamezidi......afu na walikuwa na silaha nzito nzito....
Hutaki unaachaa

we mwanamke mbona unatomboka sana naona leo unaniquote sana huyo ndugu yake ni mwanaume anaitwa Inno kama sikosei wewe unaitwa cute b or mayb udeclare humu jamvini kua wewe ni PUNGA shwaiiin!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom