Miunda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 530
- 183
Cheke cheke chekecha cheketua.....
Hahahahahaha
Cheke cheke chekecha cheketua.....
Hivi Ali Kiba na Ndomo wanalingana kweli? Mi sioni ulinganifu japo najua Kiba anasubiri sana kwa Lidomo! Lidomo yuko levo ingine kwa sasa! Kiba yeye alie tu na McMugan!
Sina muda wa kujibu maswali ya kijinga kama haya.Huniwekei bundle, comment kivyako.
Ally kiba is like a nightmare to you, una suffocate sana...vitu vingine unaviacha tu kama vilivyo utakufa kwa kihoro bure...God created him with that amazing tarent,co kosa lake eti....he is up and too bad there is nothing u can do kumporomosha,kwahiyo we shukuru tu kwa kila jambo hata kama linakuumiza kwa kiasi gani! Tushukuru kwa yote
Mlozi hachagui mbaya wake, nahisi unasafiripo humo. Nakushangaa aisee
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20( sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamanocau laa cz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii) Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi) Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?) ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick kinamna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto waiaka miwili humdanganyi kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota
Thanks,umemaliza yote proto cute.Sijui mnajifichaga wapi siku zote nyie watu.
Ally kiba is like a nightmare to you, una suffocate sana...vitu vingine unaviacha tu kama vilivyo utakufa kwa kihoro bure...God created him with that amazing tarent,co kosa lake eti....he is up and too bad there is nothing u can do kumporomosha,kwahiyo we shukuru tu kwa kila jambo hata kama linakuumiza kwa kiasi gani! Tushukuru kwa yote
Nini unataka mi nnamiujiza...nini unatakaaaa.....nikugeuze princessss sema nini unatakaaaa...Aaaah ni sheeedah team kiba oyeeeee!!!Cheke cheke chekecha cheketua.....
Nini unataka mi nnamiujiza...nini unatakaaaa.....nikugeuze princessss sema nini unatakaaaa...Aaaah ni sheeedah team kiba oyeeeee!!!
Hahahahhaha!nipogo mama, utaendelea kuniona
Haya poa.Ila ukitaka kuedit post yako unaihold halafu unasoma options kwa pembeni kuna sehemu ya kuedit unaiclick kisha unaedit halafu unaisubmit.
we hossam twende kule kwenye blog yetu kuna mautamu ya ajabu
Ruksa kunitoa ushamba, thanx mamito
Mbona hatujaona majeraha wala mahojiano ya majeruhi zaid ya sauti ya ali kiba akipaka rang kwenye sinema yake
Nini unataka mi nnamiujiza...nini unatakaaaa.....nikugeuze princessss sema nini unatakaaaa...Aaaah ni sheeedah team kiba oyeeeee!!!