Too much. Pia waache kupromote mikopo yao kwenye akaunti za watu. Kwa namna wanavyokuambia kuwa kiwango chako cha mkopo ni hiki, waweke na riba yake kwa % wakiambatanisha na jumbe zao. Zaidi ya hapo ni wezi tu
Mbaya zaidi hata ukitaka kuwapigia kupitia customer care huwezi kuwapata. Wankupa maelezo weee hadi unaishia njiani.
Kwa anayejua kuwapigia voda unatumia namba gani?
Mbaya zaidi hata ukitaka kuwapigia kupitia customer care huwezi kuwapata. Wankupa maelezo weee hadi unaishia njiani.
Kwa anayejua kuwapigia voda unatumia namba gani?