Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,744
ukute kabinti kenyewe kana uchu wa kumfanyia mtu massage. utajuta kukomaSijaoa, so hakuna ndoa iliyoko hatarini. Hata hivyo ni massage tu ndugu yangu, believe you me, ila raha yake usipime!
ukute kabinti kenyewe kana uchu wa kumfanyia mtu massage. utajuta kukomaSijaoa, so hakuna ndoa iliyoko hatarini. Hata hivyo ni massage tu ndugu yangu, believe you me, ila raha yake usipime!
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.
Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!
Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!
:becky::becky::becky: hiyo sasa hiyo saluni ni danguro :becky::becky:Kiongozi zipo saluni nyingine,uswahilini kwetu!unanyolewa ''ma..zi'', mtarimbo unan'garishwa kisha unapigishwa na nyeto
Arusha ni noma kuna watoto wazuri balaa nilienda semina mwaka jana sipasahau pashindwe na palegee
Arusha ni noma kuna watoto wazuri balaa nilienda semina mwaka jana sipasahau pashindwe na palegee
Kumbe Preta ni wa Arusha isije ikawa ndio wewe niliyekukimbiahalegei mtu hapa.....
hayo mengine niliyakuta huko huko, kule kuna watoto wazuri si mchezo halafu wanabembeleza kwa ile lafudhi yao unaweza kutoa funguo ya garikumbe ulienda kwa mengi ndo maana unalaani!
hayo mengine niliyakuta huko huko, kule kuna watoto wazuri si mchezo halafu wanabembeleza kwa ile lafudhi yao unaweza kutoa funguo ya gari
nilishtukia nikatoa key holder tu funguo nilibaki nayoHahahah! Funzadume ushatoa funguo nini!!
hivi wale wanaotuosha nywele na ndevu saluni hawawezi kuhamisha magonjwa kutoka kwake au kutoka mtu mmoja kwenda mwingine? maana uwa hawavai glovesLicha ya pombe, sigara, madawa n.k. - watu tujihadhari na addiction nyingine inayotaka kutunyemelea - kwenda saluni!
Iko maeneo ya Sakina. Leo asubuhi nimeenda pale kunyoa nywele, ndevu na kufanyiwa mambo ya scrub usoni, sa yule mrembo aliyekuwa ananifanyia scrub akaniambia na massage ipo wanafanya na yeye ndiye mtaalamu. Kwa jinsi alivyonifanyia vizuri usoni nikapenda, wateja wa hii kitu mnafahamu jinsi wale warembo wanavyotekenya uzuri masikioni huku mwanaume umeegeshewa boobs mabegani, lazima utatamani afanye zaidi. Nikauliza bei nikajibiwa 30,000 per hour, nikatafakari nikaona hebu nijaribu.
Mwanangu hiyo kitu usipimeeee! Humo ndani kunapendeza full manukato! Yaani kama zile za majuu ninazoonaga kwenye movie. Hiyo huduma sasa. Ndipo nilipoelewa walipoandika bango lao nje kuwa wananyoa nywele aina zote ni kweli. Wamenyoa washkaji, koteee! Mengine sitaandika hapa maana hii ni public forum, lakini ni kweli mrembo yule amenifanyia full body massage kama anavyoita mwenyewe, kamalizia kule ambako kinyozi hakuona, kanikata kucha, kasugua nyayo, kanifanyia naniihii yaani mi naweza kusema ni balaa, hakyanani mtu unaweza kufilisika hivihivi!
Halafu saluni yenyewe ilivyo huwezi kuamini kabisa!
nilishtukia nikatoa key holder tu funguo nilibaki nayo
hapana nabuzika kama kawa ni-PM tu upate vocha ya buku 10 ya kunibipuMmh! kumbe we "hubuziki" lol sijui ndo kiswahili cha buzi!
nilishtukia nikatoa key holder tu funguo nilibaki nayo