SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
Ninavyoelewa aliyewasimamisha ni wizara siyo Chama cha Wauguzi Tanzania! Sasa wamepata wapi nguvu ya kutoa majibu kabla ya Waziri mwenye dhamana na Wizara husika?
---
Chama cha Wauguzi Tanzania kimebaini kuwepo kwa mgogoro binafsi kati ya watumishi wa Zahanati ya Ishihimulwa waliorekodiwa kwenye video iliyosambaa mtandaoni na kuwa kabla ya kuanza kurekodi, Mtekinolojia wa Maabara alikuwa amemtusi Muuguzi hali iliyofanya Muuguzi kughadhabika.
---
Chama cha Wauguzi Tanzania kimebaini kuwepo kwa mgogoro binafsi kati ya watumishi wa Zahanati ya Ishihimulwa waliorekodiwa kwenye video iliyosambaa mtandaoni na kuwa kabla ya kuanza kurekodi, Mtekinolojia wa Maabara alikuwa amemtusi Muuguzi hali iliyofanya Muuguzi kughadhabika.