[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeNdo nasema kwa sisi wastaarabu wenye afya njema walau 52.
sio 200+ mbona hiyo ndogobora h hali iendelee hv hv mana wengne tunataka kugonga mademu 20+ ndipo tuoe
Una miaka mingapi mkuu maana hiyo idadi haizidi mwaka mmoja na nusu unakua ushatimiza tena kwa sisi wastaarabu.
[emoji848][emoji848][emoji848]Ndo nasema kwa sisi wastaarabu wenye afya njema walau 52.
Ndo mana nmeandika 20+ au huelewi maana ya hy + hapo?sio 200+ mbona hiyo ndogo
Una miaka mingapi mkuu maana hiyo idadi haizidi mwaka mmoja na nusu unakua ushatimiza tena kwa sisi wastaarabu.
Kwanza thibitisha Mungu yupo na si hadithi za watu tu.Nimpendaye hana habari na mimi
Anayenipenda hata ajitahidi vipi tena jitihada zake za kunifurahisha ndio naziona kero sasa
Mungu angerahisisha tu awakutanishe kwa urahisi wapendanao kwa dhati na si kwa sababu fulani.
Eeh Mungu twakuomba utusikie!
Jamani Kiranga ubadilikage basi na wewe miaka yote wewe ni hadithi moja tu umekomaliaKwanza thibitisha Mungu yupo na si hadithi za watu tu.
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa una ufala mwingi
Hujathibitisha Mungu yupo.Jamani Kiranga ubadilikage basi na wewe miaka yote wewe ni hadithi moja tu umekomalia
Kabla hujafa atakuonekania na tafadhali usione aibu njoo hapa utujulishe.
By the way mimi najua kuwa unajua na unaamini katika Mungu na uwepo wake, kwa sababu he manifests deep inside your soul,la usingetumia hata sekunde ya muda wako wa thamani kutengeneza hoja, hizi humu ni sarakasi zako tu dearest Kiranga