Tagawa Mwakitombile
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 468
- 398
Mnayatakia nini haya MAZUNGU na politics zao? Tufuatilie siasa zetu. Dah wabongo mnakera aise
ndo maana hili jukwaa likaitwa "international forum"
Mnayatakia nini haya MAZUNGU na politics zao? Tufuatilie siasa zetu. Dah wabongo mnakera aise
ndo maana hili jukwaa likaitwa "international forum"
Tufwatilie siasa za Magufuli?
Ampe support nani? Fisi maji weweNdiyo,tunaumiza vichwa bure wakati wao kule hawana habari na sisi! Na wala hawazijui siasa zetu! Hivyo tuwe pamoja na magufuli kumpa support
Ampe support nani? Fisi maji wewe
(Sisi) wewe na nani?Huelewi lugha nini! Nimekuambia (sisi) tumpe support our presii we vipi
(Sisi) wewe na nani?
Ile ni nchi kubwa zaidi kiuchimi kuliko sisi so habari inayotokea kwao ni rahisi sisi kufahamu kuliko lolote dogo litakolotokea kwetu...hii ni principle ndogo tu..BTW hiyo ni habari kubwa ndo maana unaikuta CNN,Aljazeera,BBC,DW,RT nk. So kuna watu wapo interested na hizo habari waache wapate hizo habari.😀 So what they gained from us? or to us what we gain from them? I thnk hakuns jibu hapo