Hii picha ni ya ajabu ama imekuwaje?

Hii picha ni ya ajabu ama imekuwaje?

Nyamkomogi

Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
25
Reaction score
7
Nimepiga picha kwa kutumia simu yangu ya mkononi. Lakini hiyo picha imejirekodi kuwa imepigwa mwezi March 2200, Wakati nimepiga mwezi March 2025.

Nimeshindwa kuelewa imekuwaje?
 
Hiyo hapo
 

Attachments

  • Screenshot_20250317-224628.jpg
    Screenshot_20250317-224628.jpg
    27 KB · Views: 22
  • Screenshot_20250317-224815.png
    Screenshot_20250317-224815.png
    74.4 KB · Views: 23
Nimepiga picha kwa kutumia simu yangu ya mkononi. Lakini hiyo picha imejirekodi kuwa imepigwa mwezi March 2200, Wakati nimepiga mwezi March 2025.

Nimeshindwa kuelewa imekuwaje?
Kagua vizuri sana simu yako sometimes inakua na virus ambavyo vinaweza kuathiri simu yako kwa style hiyo unakuta umepiga picha Tarehe 18,03,2025 unakuta picha yake inaonyesha ya Tarehe 30, 01,2030 ni virusi hivyo huweza kuathiri mfumo wa software 😌
 
Kagua vizuri sana simu yako sometimes inakua na virus ambavyo vinaweza kuathiri simu yako kwa style hiyo unakuta umepiga picha Tarehe 18,03,2025 unakuta picha yake inaonyesha ya Tarehe 30, 01,2030 ni virusi hivyo huweza kuathiri mfumo wa software 😌
Ok
 
Back
Top Bottom