Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
lol lol lol lol
mitanzania bwana ndio UTAMADUNI wetu huo....
mnanikumbusha mwizimiwa (mheshimiwa) sana waziri mkuu mfukuzwa bwana Lowasa aliposema ili nchi ipate maendeleo itabidi watu tujifunze Kichina ili tuendelee kama China, kwani tatizo ni nchi/lugha au mipango ya nchi/mtu husika?
acheni hizo bwana unaishi kwa kutegemea cha jirani??
mitanzania bwana ndio UTAMADUNI wetu huo....
mnanikumbusha mwizimiwa (mheshimiwa) sana waziri mkuu mfukuzwa bwana Lowasa aliposema ili nchi ipate maendeleo itabidi watu tujifunze Kichina ili tuendelee kama China, kwani tatizo ni nchi/lugha au mipango ya nchi/mtu husika?
acheni hizo bwana unaishi kwa kutegemea cha jirani??