Hii picha inatoa ujumbe gani

Hii picha inatoa ujumbe gani

Mie tofauti niliyoiona, JK peke yake ndie anaecheka..wengine wamekunja sura au wako kawaida tu!!
 
Hapo wanasubili mtihani sasa wanataka jk asipige chabo
 
m7 , pk na uhuru wako sambamba... jk na mwenzie lao moja... waafrika hawawezi kuendelea bila ya wazungu ...sad...
 
Kuna meza mbili. Moja ina watatu kwanzia Kenyata kwenda kulia na nyingine wawili kwenda kushoto kwanzia kwa Jk. Northeen corridor vs the rest
 
Mi dikteta ya Kiafrika imekusanywa pamoja, haina akili wala tafakuri.

Sijakuelea kabisa FF!! Hadi JK kawa dictator tena mkuu?? Umeacha tabia ya kumlamba miguu, umeanza kumwita dictator??
 
Sijakuelea kabisa FF!! Hadi JK kawa dictator tena mkuu?? Umeacha tabia ya kumlamba miguu, umeanza kumwita dictator??

Nadhani hamuelewi kuwa katiba yetu ya sasa inampa udikteta Rais yeyote yule awae. Hata Nyerere alikiri hilo. Kipi cha ajabu hapo?

Kikwete amejaribu sana kuwa mwadilifu na muungwana lakini still katiba tuliyonayo inampa power ya udikteta.

Hilo kubali au kataa ndiyo ukweli.

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni dalili mbaya kwa sababu viti vyenyewe vinaonekana kutengwa wawili kwa watatu!
 
Kila mmoja anakaa mbele ya benxera ya nchi yake. Hapo pana benxera ya EAC. Watu bhana
 
Back
Top Bottom