Hii picha inatoa ujumbe gani

Hii picha inatoa ujumbe gani

Nafac mbona zinafanana kwa wote..inategemeana na angle ya mpgaji


Exactly....equal sitting spacing, ni angle picha ilivyopigwa tu...!!!

Mleta mada nae, uchochezi tu, nothing else...!!!
 
baada ya JK kuondoka sijui hao manyang'au wana plan gani nyingine
 
mimi naona nafasi hazipo sawa, angalia mikono ya Jk wa kulia na kushoto, utangundua mkono wa kulia kwake upo karibu zaidi /umegusana na mkono Rais wa Burundi lakini mkono wa kushoto upo mbali na mkono wa Kenyatta, angle ya mpiga picha haina uhusiano hapo
 
Kila rais anakaa mbele ya bendera ya nchi yake. Hiyo bendera ya kati ya Jk na Uhuru ni ya Eac ndio mana unaona hilo gap.
 
Nafac mbona zinafanana kwa wote..inategemeana na angle ya mpgaji
Yeah...yaweza kuwa ni Angle ..Ila wapuuzi wa JK nje ya nchi walipaswa kuwepo na kukagua in advance na kuweza pata tafsiri.JK kuwa mbali na mmojawapo ktk ya waliookuwa maadui ni wazi kuna walakini ktk mahusiano.
 
Yaaani wakenya wametudelete kwenye utalii mpaka rais wetu wanamdelete kwenye picha. aibu
Kwani wao ndio wanamilik vivutio vyetu..kutokuwa waangali ktk lugha za kujielewa kunadumaza na kuwafanya wadogo kwa kila kitu.
 
JK anonekana kucheka hadi mwisho hana anchofikiria kichwani..wakati wenzie wanaplot issues kibao vichwani...JK kafurahia hiyo picture.Huyu jamaa ni hopeless km Obama.Ndio shida ya kuchagua populist..akili zao zipo ktk camera na matukio ya kuwafuhira akiamini kuwa na REAL ISSUES NAZO ZINAKUWA SOLVE KWA KUJIFURAHISHA
 
Ukiangalia utaona kuna space between Rais wa Tanzania na Rais wa Kenya.Unajua kwanini?

View attachment 228731

Ninachoona ni marais kukimbia kukaa mbele ya bendera za nchi zao isipokuwa JK pekee...

Kama wangelikaa mbele ya bendera za nchi zao basi JK na PK wangelikaa karibu...

Sasa sijui ni kwa nini marais hao wengine waliamua kukwepa kukaa mbele ya bendera za nchi zao!!!
 
baada ya JK kuondoka sijui hao manyang'au wana plan gani nyingine
JK mwenyewe anachafu tuu TZ.Hao manyang`au kivuli cha TZ ya Nyerere kinawatisha ila si JK.So akija mtu serious km Mkapa waki beep tuu na kuona majibu yenye akili basi watapotea kwa miaka kadhaa hadi aje kilaza mwingine.JK alichowatisha ni urafiki na marais w amataifa makubwa..ndio kinachowafanya pia wawe na mashaka km kweli ni kilaza km anavyoonekana au?So wanakosa pa kufanya upuuzi..TZ inawatisha..JK aeleweki ktk matukio makubwa ya kidunia.
 
Kila rais anakaa mbele ya bendera ya nchi yake. Hiyo bendera ya kati ya Jk na Uhuru ni ya Eac ndio mana unaona hilo gap.
huwezi tafsiri malaria kwa kuangalia homa..ila kwa kuangalia mbu,na vidudu ktk damu.
 
Ninachoona ni marais kukimbia kukaa mbele ya bendera za nchi zao isipokuwa JK pekee... Kama wangelikaa mbele ya bendera za nchi zao basi JK na PK wangelikaa karibu... Sasa sijui ni kwa nini marais hao wengine waliamua kukwepa kukaa mbele ya bendera za nchi zao!!!
Ama JK ni careless km kawaida yake au Kagame km kawa anavyomdharau JK kiakili na kiustaarabu kaamua kutokaa nae.JK huwa si mwangalifu sana,ndio maana huwa siku zote hajui anaongea na kuishia wadhalilisha wapuuzi wake km Pinda.JK hana mawazo kabisa ktk hao marais.Wengine wanatafakari na pengine wanafikiri ni vipi watawazidi wengine ktk dili kwa manufaa ya nchi zake JK anachekelea umma.
 
Kila rais anakaa mbele ya bendera ya nchi yake. Hiyo bendera ya kati ya Jk na Uhuru ni ya Eac ndio mana unaona hilo gap.

sio kweli,kwamba kila rais kaka kwenye bendera ya nchi yake..!? angalia vizuri bila ya kupepesa macho.
 
sio kweli,kwamba kila rais kaka kwenye bendera ya nchi yake..!? angalia vizuri bila ya kupepesa macho.

Wewe ndio uangalie vizuri mkuu. Position ya Pk na bendera ya nchi yake isikuchanganye ni angle ya mpiga picha tu.
 
Back
Top Bottom