Hii picha inatoa ujumbe gani

Hii picha inatoa ujumbe gani

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Ukiangalia utaona kuna space between Rais wa Tanzania na Rais wa Kenya.Unajua kwanini?

10443541_941556102529722_5536056196353938923_n.jpg
 
itakuwa ni ile wanaita "Coalition of the Willing.

Hao watatu waliojitenga kulia.
 
Yaaani wakenya wametudelete kwenye utalii mpaka rais wetu wanamdelete kwenye picha. aibu
 
Bendera 6, watu wa5, kuna nchi ina bendera 2
 
Ni kweli picha huongea kila kitu

Nilikuwa najaribu kumtathmini mtu aliyeandaa hiyo "Sitting Plan".

Nikajiuliza, hata kama Mwenyekiti wa EAC for the time being ni UK anayepaswa kuwa katikati (which is fine), Je aliyepanga huo ukaaji ilikuwa ni lazima awaweke karibu YM na PK?

It ain't hard to tell.
 
ccm ni janga

Tatizo uelewa umeulizwa kuhusu ccm?
Nafasi zoko sawa kt Ya marais wote hapo ni pembe gani alipo simama mpiga picha.
SIASA ZINA WAHARIBU MPAKA MNASHINDWA KUTOFAUTISHA MAMBO!
Kuweni wazarendo,mambo Ya vyama ni kwenye uchaguzi ,unachagua chama tutakachoamini kitatuletea mabadiliko lakini siyo kila wakati ni siasa .
TUSIKALILI MAMBO
 
Mmh! Amazing waliopanga sitting plan walikua wanajua CoW peke yao na wenzangu na mimi kivyo hautakiwi kutumia akili nying kujua kama ni kutengwa
 
sijajua kwanini ila nimegundua kitu bendera sita, viongozi wa tano...hapo kwenye nafasi kutoka mukulu sijui ni nafasi ya nani??

Bendera ni sita marahisi watano sababu hiyo bendera ya sita inawakilisha Jumuiya ya Afrika mashariki
 
Back
Top Bottom