Hii picha ina maana gani?

Hii picha ina maana gani?

Picha ya kwanza ni Bashite ameacha kazi zake anataka apae,

Picha ya mwisho wakujiteka anaenyeshwa na wajanja ndani ya maji ili hali yeye sio muogeleaji. Kwa leo tuishie hapo
 
Screenshot_2018-03-08-22-44-43.png
 
Endelea kushikiwa akili kwa kusubiri mtu akulishe tafsiri yake kisha wewe uikariri!
Shughulisha akili yako, Mungu hakukupa hiyo akili ijaze tu hilo bichwa lako!!
mkuu una masimango,ila mimi nilichojua hapo ni kwamba kuns tawala tatu na kila tawala ina mbabe na mnyonge wake,sasa cjui kweli kuna milki3 yaani angani huko kuna waishio kama sisi...

Na hapa ardhini pia ndo tuko wenyewe na huyu msumbufu satan mr mapembe...



Na katika maji pia wako wanaoishi huko na kuna mbabe na mwonevu pia...hapa swali laja lingine.....kws hiyo dunia imekas mithili ya sahani...eeeeh??!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom