Huyu jamaa ni mlevi kupitiliza pia anaokota sana mademu wa bei rahisi mitaa ya Kawe,tegeta na kunduchi usiombe umkute amelewa uanze kumshangaa kujifanya unamjua anakamusi ya matusi yote!
Hakuna kiumbe mwenye nyama na roho aliye salama milele. Kiburi cha uzima kinawadanganya binadamu na kufikia kujiona wao ndo wao. Huyu ni mmoja wapo kati ya viongozi wa dini waliodhani wako juu ya binadamu wote, hadi baadhi ya viongozi wakadhani ukiwa karibu naye ni baraka kumbe ni binadamu wa kawaida mwenye imani na dhambi kama wengine.
Huyu jamaa ni mlevi kupitiliza pia anaokota sana mademu wa bei rahisi mitaa ya Kawe,tegeta na kunduchi usiombe umkute amelewa uanze kumshangaa kujifanya unamjua anakamusi ya matusi yote!