Hii picha imenishtua sana!

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,901
95,403
Huyu Profesa alikuwa amevaa barakoa ili kujikinga na Corona lakini alipoenda kusalimiana na Rais ilibidi aivue!
543210976.jpg
 
kimsingi balakoa haina uwezo wa kumzuia huyu corona wa awamu hiiya 2.wa S.Afr walikuwa wanashnda na balkoa na kulala nazo lakini wapi!! Muacheni apumue dada wawatu#jane lowasa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom