Ivi naa wao usimamizi wa mazingira /usafi wana fanya wananchi wenyewe au kuna tender zina gawiwa kwa makampuni ili kusafisha mji wao ? Naomba tu share experience yako hukoNilikuwa nakaa 5 to 5 Hotel karibu na Amahoro Stadium, Kigali kuna mengi sana ya kujufunza kwa kweli including usafi wa mazingira in general
Jaman ni jiniazi. Safi sanaNimefurahi hapo uliposema ..uling'oa demu mkali wa kitutsi VIP club kwa kujifanya jirani wa diamond platinumz..kumbe unaishi mwanza nyegezi...hahahaaa.. Burudaani!!
Hii taarifa yako ingenoga sana kama unge tabulate Rwanda Vs home country yako
Eti nchi peke we umewahi kufika nchi ngapiLakini Rwanda si mji, ile ni nchi.
Primus ni sawa na pombe flani za hukunlwetu Kama dadii Busa Mangiree mbege kn how ome mnapiga pafu kwenye chupa Maambukizi ya Corona na magonjwa mengine ya kibywa na tumbo vipi
Eti nchi peke we umewahi kufika nchi ngapi
Kwa kweli kwenye hili sina uhakika sana juu ya wahusika wa usafi nadhani ni jukumu la kila mmoja kwenye eneo husika na wapo makini mno. Mimi sikuona hata nzi nilikwenda sokoni yani jamaa wako vizuri kwa kweliIvi naa wao usimamizi wa mazingira /usafi wana fanya wananchi wenyewe au kuna tender zina gawiwa kwa makampuni ili kusafisha mji wao ? Naomba tu share experience yako huko
Kuna mizigo kama hiyo Primus, Mutzig na Skol ila sasa hiyo michupa yao ya bia ni mikubwa mnoPrimus ni sawa na pombe flani za hukunlwetu Kama dadii Busa Mangiree mbege kn how ome mnapiga pafu kwenye chupa Maambukizi ya Corona na magonjwa mengine ya kibywa na tumbo vipi
Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.
Yooo! Twiga near roundabout ni mwaka gani huo chief?Bia ya primus niliwahi kuipata geita ikiuzwa.
bei yake ilikuwa sh 2000/= (twiga bar)
yale ni maji tupu..chupa kubwa sana la lita moja..kilevi cha mbaaali.
Kiufupi bia ilikosa wateja..naambiwa eti kuna bia ya amstel ipo huko.
kuhusu wadada wa kitusi kwel wazuri.ila ni wachafu balaa, intolerant, wavivu nk
Duuuh! Hongera mshukuru Mungu kwa hiloOngela mshkulu mungu kwa hilo