Hii Nilikutananayo Maeneo Ya Kondoa Irangi

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
157.jpg
 
Kondoa kunawaka barabara rami,madaraja ya maana yaani hata kwao Dr hapaoni ndani....
 
Hii picha ya siku nyingi sana................. Labda km uliipiga miaka hiyo na kui-publicize.
 
Mkuu hapo ni darajani Kondoa kumekucha tembea uone
 
Ndallo, yani unavoikomalia navuta picha na Hako ka Avata kako ndo du, Yani nakuona unaandika hayo maneno ukiwa umelea alafu kapengo tu ndo knaonekana.

Nimeipenda sana, Hiyo ni Kondoa ya Miaka 10000 ijayo.
 
Mkuu si useme tu ukweli imekuvutia ukaiweka hapa, pasi na kujua ilishapita hapa mara kibao
 
Back
Top Bottom