Mkuu inavyoonekana huyo mwanamke alikwisha muudhi kabla sasa jamaa akamtafutia sababu ya kisiasa ya kumuadhibu pasipo kujua. Na kwakweli amefanikiwa maana siku hizi ukimpiga demu Mama Salma JK na wadogo zake akina Kijo Bisimba wasijue wakijua umeumia.