Hii ni spesho kwa wanaume

Hii ni spesho kwa wanaume

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,756
Wadau hi
Go to the direct point.
Unataka kuoa ila unawanawake wawili kama wapenzi.
1.yeye anapenda hela na kuvaa vizuri na kutolewa out.
Yeye anapenda kununa kama humtoi
Ila kisa cha kutomwacha mkipiga game dah unafurahia mpaka basi.
2.Anajitahidi kimaisha hapendi kuomba kila kitu mpaka shida imgande ndio aongee.
Anakujali kiafya kimwili na kimaisha anakununulia nguo anakupenda ila kwenye gemu no sio dili kawaida tu.
Je kati ya hapa utajiriski kwa nani ili uoe???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau hi
Go to the direct point.
Unataka kuoa ila unawanawake wawili kama wapenzi.
1.yeye anapenda hela na kuvaa vizuri na kutolewa out.
Yeye anapenda kununa kama humtoi
Ila kisa cha kutomwacha mkipiga game dah unafurahia mpaka basi.
2.Anajitahidi kimaisha hapendi kuomba kila kitu mpaka shida imgande ndio aongee.
Anakujali kiafya kimwili na kimaisha anakununulia nguo anakupenda ila kwenye gemu no sio dili kawaida tu.
Je kati ya hapa utajiriski kwa nani ili uoe???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yetu yanakuhusu nini...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati yao mwenye mbinuko nani? Tuanzie hapo kwanza
 
Nitamuoa mwanamke namba 1 mwenye sifa kama zako.
 
Wadau hi
Go to the direct point.
Unataka kuoa ila unawanawake wawili kama wapenzi.
1.yeye anapenda hela na kuvaa vizuri na kutolewa out.
Yeye anapenda kununa kama humtoi
Ila kisa cha kutomwacha mkipiga game dah unafurahia mpaka basi.
2.Anajitahidi kimaisha hapendi kuomba kila kitu mpaka shida imgande ndio aongee.
Anakujali kiafya kimwili na kimaisha anakununulia nguo anakupenda ila kwenye gemu no sio dili kawaida tu.
Je kati ya hapa utajiriski kwa nani ili uoe???

Sent using Jamii Forums mobile app


Remember, your mind is greatest asset.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom