Sema yule jamaa umfahamu vizuri yule jamaa ana hasira mbaya Kama angejua sizani Kama huyu demu angekuwa salama lakini pia sababu nyingine iliyonifanya nisimwambie ule demu katoka nae mbali sana kampenda mwana ikiwa jamaa Hana kitu nusu ya maali ya ndoa huyu binti ndo alimpa mwana ukiacha hivo Kuna kipindi jamaa yangu ilibidi aende jela au atoe faini ya mil 15 but huyu binti ndo akatoa hiyo faini alafu Leo I we rahisi rahisi tu waachane kwa sababu ya hiyo tu?labda kosa langu ni kutomuuliza huyu demu sababu ya kuchepuka ingawa anapenda Sana jamaa yangu ndo ningekuelewa ila soon nitamuuliza.