Hii ni shule ya msingi ambayo wanafunzi wanasoma kwa shift

General Galadudu

JF-Expert Member
Nov 7, 2015
1,837
2,119
Inaitwa shule ya msingi Kamlenga, ipo kata ya Sibwesa kijiji cha Sibwesa huko Mpanda Katavi, ina wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili wanaofikia takribani 230 na mwalimu mmoja.

Kila mzazi hulazimika kuchanga sh 1000 kwa mwezi kwa kila mwanafunzi ili ipatikane pesa ya mshahara/posho ya mwalimu.

Huyu ndio anafanya kazi kwa wito.
a1ff45bb0af891b6c5618fabd94c44c8.jpg
 
Hiyo ndo elimu bure - bure kabisa!
I don't think so, picha haisadifu maudhui walau ingekua accompanied na picha ya wanafunzi hapo wamekaa au wapo around ingejenga uhalisia kidogo lakini kwa mazingira hayo nachelea kusema hicho ni kilabu cha pombe za kienyeji kule kwetu Iringa hapo wanagongea komoni/ulanzi........
 
Pale vigwaza kuna shule ya msingi inaitwa kisogo shule ina mwalimu mmoja na huwa tunamwita ustaadh maana ni swala tano, shule hiyo ina chumba kimoja tu cha darasa kinachofanyika ni kupeana zamu kuanzia la kwanza mpaka la saba,
Kuna mzungu kajitolea kujenga madarasa na ujenzi wake unasuasua kwa sababu mara nyingi huwa hayupo nchini
 
I don't think so, picha haisadifu maudhui walau ingekua accompanied na picha ya wanafunzi hapo wamekaa au wapo around ingejenga uhalisia kidogo lakini kwa mazingira hayo nachelea kusema hicho ni kilabu cha pombe za kienyeji kule kwetu Iringa hapo wanagongea komoni/ulanzi........
umesha ambiwa ni Mpanda , huko watu elfu mbili mnaweza lala raha mustarehe kwenye chumba kimoja cha futi kumi kwa kumi
 
Vip kilabu cha msichoke au cha kule kisoka
Maana kwa kunywa mkangafu na mtogwa hamjambo. Bila kusahau macholo na togwa...wugimbi na mdindifu. Iringa wazee wa ulanzi oyeeee.....
I don't think so, picha haisadifu maudhui walau ingekua accompanied na picha ya wanafunzi hapo wamekaa au wapo around ingejenga uhalisia kidogo lakini kwa mazingira hayo nachelea kusema hicho ni kilabu cha pombe za kienyeji kule kwetu Iringa hapo wanagongea komoni/ulanzi........
 
I don't think so, picha haisadifu maudhui walau ingekua accompanied na picha ya wanafunzi hapo wamekaa au wapo around ingejenga uhalisia kidogo lakini kwa mazingira hayo nachelea kusema hicho ni kilabu cha pombe za kienyeji kule kwetu Iringa hapo wanagongea komoni/ulanzi........
Naona kama kuna ubao kwa mbele au nao ni ya kuandikia bei za pombe?
 
Back
Top Bottom