Hii ni security ya aina yake naombeni msaada.

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Habarini wana JF, Ni kawaida yangu ninapotaka kuangalia filamu kwenye kompyuta huwa naikopi kwanza. Mwezi Mei nimenunua filamu ambayo Kila ninapotaka kukopi inaonyesha kuwa ina GB 300. Hard Disk yangu ina 120. Nifanyeje maana kiukweli hiyo type ya security ni mpya kwangu na ni program gani inatumika kufanya kitu kama hicho?
 
Habarini wana JF, Ni kawaida yangu ninapotaka kuangalia filamu kwenye kompyuta huwa naikopi kwanza. Mwezi Mei nimenunua filamu ambayo Kila ninapotaka kukopi inaonyesha kuwa ina GB 300. Hard Disk yangu ina 120. Nifanyeje maana kiukweli hiyo type ya security ni mpya kwangu na ni program gani inatumika kufanya kitu kama hicho?
Daah! mkuu hilo tatizo mimi nimekutana nalo yaani ileile DVD ya 4.7 ukienda kwenye folder unakuta 260 GB nafikiri ni ngumu sana kuchakachua.
 
Hahahahahahahahaaaaa ni nakakitu kadogo sana wakuu...................kama hali ya uchumi haija kaa sawa....kuzuia watu Kuchakachua ni ngumu sana .Mi hua naichomolea Tv Tuner.
 
nadhan hapo kutakuwa na compression, hebu jaribu utumie bunners like nero then uicopy kama image yenye extension ya .iso, then ikikubali utatumia vlc kuplay baadae.
 
yeaah hata mimi natumia trick za style hiyo change extension then machine haitaitambua then it wil be easy to be compressed
 
Back
Top Bottom