Umefikiria nini Mkuu The Boss,
Yaani umeongelea jambo la maana sana. Mara nyingi sana tunajikuta tumefungwa kwenye kuangalia mabaya na kusahau mambo mengi mazuri tuliyofanyiwa na wenzetu.
Ndiyo maana Bibi huwa nampa sifa siku zote...She has been making me happy and no matter what, I will thank her for the party!
Haa haa....iliyoshindikana kivipi?
hupaswi kuondoka na dissapointment alone...kumbuka the party before,,thats all...
tazama waingereza walivyo abusive kwa wachezaji wao? inawasaidia?
Aisee tena usiseme kuhusu wa ingereza pumbav kabisa kutwa kucha wanascrutinize mchezaji hadi mchezaji..ujinva mtupu.. wanacheza mpira kwen media?
On the same vein ndo nilikuwa nataka niseme.mfano naeeza kusema thank you Morg the party was nice but its over now...
Haa haa....iliyoshindikana kivipi?
hupaswi kuondoka na dissapointment alone...kumbuka the party before,,thats all...
tazama waingereza walivyo abusive kwa wachezaji wao? inawasaidia?
Hahaaaaaa Unataka NIACHIKE WEWE huntakii mema kabisaaa! Mi nataka kusema tu THE SHOW MUST GO ON!huna mtu wa kumwambia 'thank you, it was beautiful '????????
Umefikiria nini Mkuu The Boss,
Yaani umeongelea jambo la maana sana. Mara nyingi sana tunajikuta tumefungwa kwenye kuangalia mabaya na kusahau mambo mengi mazuri tuliyofanyiwa na wenzetu.
Ndiyo maana Bibi huwa nampa sifa siku zote...She has been making me happy and no matter what, I will thank her for the party!
Mmmh babu, bibi yupi! !!!!
Au mla ni mla leo..
Aaaaaaaaaaaw! THANK YOU BABY WANGU, PIKO WA MOYO WANGU, MY LOVE, FRIEND, RELATIVE, PARTNER Matola for comming in my life! I will always love you, and you will have a special place in my heart always!