King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,638
- 68,570
Nilipata kicheche m1 hivi nikasema ngoja nisuze rungu sasa yule demu sijui ni wakitanga? Aisee yani masaa mawili kitu akishuki sasa sijui ndio preapism.
Jamaa yangu ndio kaniuliza,nikashindwa kumjibu kwasababu hata mie sihijui,kwani ndio nini? Ebu nipe na tiba yake nikamjulishe mjita wangu.
Jamaa yangu ndio kaniuliza,nikashindwa kumjibu kwasababu hata mie sihijui,kwani ndio nini? Ebu nipe na tiba yake nikamjulishe mjita wangu.