KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Una gundu,nenda kwa KARUMANZIRA lakini ujiangalie maana siku hizi amegeuka ,amekuwa kama wale wachungaji wenye kutafuna kondoo wao.Imetokea si mara moja mbili au hata kumi, imekuwa ni kama uchawi sasa mwanamke yeyote nitakayetembea naye kama ni mpangaji mwenzangu hamalizi miezi mitatu lazima ahame nyumba kwasababu yeyote ile
kama ni barmaid hivyo hivyo kama ni house girl mule mule kama ni mfanyakazi ofisini ndio usiseme.
Nakaa na kujiuliza sana hii ni nguvu gani? Ni nzuri au mbaya?
Maziwa ya kuku ni wareno.Mmh sasa maziwa yakuku atayapata wapi jamani
Hebu soma kwa makini nilichoandika wengi wamefikiri tofauti... Hao wanawake sio kuwa linatokea tatizo la hasha bali hutokea tu kuondoka na wengi wao tunaagana vizuri kabisaUna gundu,nenda kwa KARUMANZIRA lakini ujiangalie maana siku hizi amegeuka ,amekuwa kama wale wachungaji wenye kutafuna kondoo wao.
acha uzinzi mkuu. acha kabisa. zibuka na usikie sasa, acha usharatiImetokea si mara moja mbili au hata kumi, imekuwa ni kama uchawi sasa mwanamke yeyote nitakayetembea naye kama ni mpangaji mwenzangu hamalizi miezi mitatu lazima ahame nyumba kwasababu yeyote ile
kama ni barmaid hivyo hivyo kama ni house girl mule mule kama ni mfanyakazi ofisini ndio usiseme.
Nakaa na kujiuliza sana hii ni nguvu gani? Ni nzuri au mbaya?
Swali lako limeeleweka vizuri kama ulivyo uliza, na unatakiwa uelewe kwamba nuksi sio lazima ugombane na mpenzi wako, kwanza anaye pata majanga ni mwenzako na sio wewe, kwako mambo yanakuwa poa tu ila mwenzako ndio anakuwa anapata majanga kila siku au baada ya muda fulaniMbona mnashindwa kuelewa nilichouliza? Hakuna niliposema wananikimbia
Au huwa unajipullizia dawa ya mbu?Duuu
Sijakuweka na sithubutu mwaya..Mimi usiniweke huko
Ndio kukukimbia huko hawataki kukutia tena machoni labda huwapi cha maana zaidi ya kuwapaka shombo unafikiri wataacha kukukimbia?Mbona mnashindwa kuelewa nilichouliza? Hakuna niliposema wananikimbia
Umeshakua jiongeze,unafikiri watakwambia wamekukimbia?wanahisi wakikuambia shida yako utajidharauNaamini wengi mmekurupuka kuchangia nimesema wanaondoka kwa sababu zozote zile na si kwamba wananiacha au tunagombana