Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
BWamdogo ukiwa ofisini fanya kazi! Nchi yetu ina baki nyuma si kwasababu ya ccm tu, bali pia productivity kushuka kutokana na blah blah mingi kwa ofisi.
PakaJimmy bora umemwambia ukweli. Dogo anawaza ngono tu halafu baadae atashangaa kwanini mambo hayaendi anavyotaka