hii ni kweli

hii ni kweli

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Jamaa yangu ana demu wake anampenda sana,pia ana wivu mbaya,kademu baada ya kulijua hilo kakawa kanamletea pozi sana mara kamwambie waachane,mara jamaa asijisumbue kwenda kujitambulisha ukweni,mara kambanie uroda,mara kazime simu wiki nzima,mara kasipokee simu basi tu ilimradi kamrushe roho kamanda,Jamaa mmoja akamshauri kamanda kwamba huyo dawa yake mjaze ujauzito atanyooka,dah kamanda akaanza kukomaa bwana at ze end demu kitu kimo mpaka sasa kina miezi minne,kalienda itoa ikashindikana,huwezi amini kidemu sasa adabu juu kanamganda kamanda aende jitambulisha,kanatishia kunywa sumu kama kamanda akikaacha na kanataka hamia kwa kamanda maana kanakaa kwao,na kwao mambo safi bt kamanda ni graduate anapiga biashara tu,wadau mnasemaje?
 
nyie watoto wapuuzi kweli kweli...yaani kumkomoa demu kumpiga mimba? wajikomoa mwenyewe hapo maana umejipa majuku ya kulea mtoto...sasa sii ujinga huo.
 
nyie watoto wapuuzi kweli kweli...yaani kumkomoa demu kumpiga mimba? wajikomoa mwenyewe hapo maana umejipa majuku ya kulea mtoto...sasa sii ujinga huo.

we ndo lijingajinga,kupata mtoto hata kama ni kwa kumkomoa mtu ni neema tu,wangapi wanatafuta watoto miaka zaidi ya kumi,kuna ndugu yangu kaacha wake wawili tena wa ndoa kisa anataka mtoto kwani anazeeka zen we unasema ujinga? Jamaa yuko fiti na ana mji wake pia anatunza na kusomesha wadogo zake sembuse mwanae? We kweli jingajinga.
 
nyie watoto wapuuzi kweli kweli...yaani kumkomoa demu kumpiga mimba? wajikomoa mwenyewe hapo maana umejipa majuku ya kulea mtoto...sasa sii ujinga huo.

Hawatambui hili mkuu...wanawZa kukojolea watoto wa watu tu....
 
we ndo lijingajinga,kupata mtoto hata kama ni kwa kumkomoa mtu ni neema tu,wangapi wanatafuta watoto miaka zaidi ya kumi,kuna ndugu yangu kaacha wake wawili tena wa ndoa kisa anataka mtoto kwani anazeeka zen we unasema ujinga? Jamaa yuko fiti na ana mji wake pia anatunza na kusomesha wadogo zake sembuse mwanae? We kweli jingajinga.

this is where u go wrong wewe...kuwa na kazi na sehemu yako dnt make u fit to be a father. being a father is abt sacrifices abt u being third inline kwa kila kitu. alafu kumake matters worse hapa huyo demu hakuitaka hiyo mimba sasa unadhani she will give her all to the child? child shuld be concieved becoz mnapendana na mmepanga wote wawili sio eti ili umkomoe.

unataka kumkomoa demu anayekuzingua chapa alafu sepa zako...ikiwezekana muombe na tigo kabisa wakati unamgegeda kwa mara ya mwisho
 
Huyo binti anampenda jamaa kwa dhati au ni sababu ya hiyo mimba tu?
 
Hawatambui hili mkuu...wanawZa kukojolea watoto wa watu tu....

we nakujua mwanao anakuita babu halafu akija rafiki yako ndo anaitwa baba,kisa ulikwepa majukumu shit kama wazazi wako wangekwepa majukumu we ungekuwepo?
 
this is where u go wrong wewe...kuwa na kazi na sehemu yako dnt make u fit to be a father. being a father is abt sacrifices abt u being third inline kwa kila kitu. alafu kumake matters worse hapa huyo demu hakuitaka hiyo mimba sasa unadhani she will give her all to the child? child shuld be concieved becoz mnapendana na mmepanga wote wawili sio eti ili umkomoe.

unataka kumkomoa demu anayekuzingua chapa alafu sepa zako...ikiwezekana muombe na tigo kabisa wakati unamgegeda kwa mara ya mwisho

mmh tigo? We uwenda ni ndugu yake na shetani kati ya tigo na mtoto kipi bora?
 
we ndo lijingajinga,kupata mtoto hata kama ni kwa kumkomoa mtu ni neema tu,wangapi wanatafuta watoto miaka zaidi ya kumi,kuna ndugu yangu kaacha wake wawili tena wa ndoa kisa anataka mtoto kwani anazeeka zen we unasema ujinga? Jamaa yuko fiti na ana mji wake pia anatunza na kusomesha wadogo zake sembuse mwanae? We kweli jingajinga.

Mkuu hiyo sio neema!kama hauko kwenye ndoa au huwajui wanawake vizuri ndo waweza sema kamkomoa!nachoweza kukuambia mshkaj ndo kajikomoa!kwa mfano do u think mimba ni nundu usime haitakaa itoke/ajifungue?so kama wakat alikuwa hana mimba alikuwa anamzingua mshkaj nin kinakuhakikishia hatamzingua after kujifungua?do u know crazy women mkuu?atambwagia mtoto hapo na yeye kusepa kula life kama kawa!haya sasa jamaa atanyonyesha mtoto?atamuogesha na kumlisha?strictly speaking mshkaji kajikomoa yeye!
 
Huyo binti anampenda jamaa kwa dhati au ni sababu ya hiyo mimba tu?

atajibeba huko na kamanda kisha sema mtoto akikoma titi na akaanza tembea kidemu kisepe zake maana tayari ana demu mwingine sababu ya ule usumbufu wa awali wa hiki kidemu lofa.
 
Jamaa yangu ana demu wake anampenda sana,pia ana wivu mbaya,kademu baada ya kulijua hilo kakawa kanamletea pozi sana mara kamwambie waachane,mara jamaa asijisumbue kwenda kujitambulisha ukweni,mara kambanie uroda,mara kazime simu wiki nzima,mara kasipokee simu basi tu ilimradi kamrushe roho kamanda,Jamaa mmoja akamshauri kamanda kwamba huyo dawa yake mjaze ujauzito atanyooka,dah kamanda akaanza kukomaa bwana at ze end demu kitu kimo mpaka sasa kina miezi minne,kalienda itoa ikashindikana,huwezi amini kidemu sasa adabu juu kanamganda kamanda aende jitambulisha,kanatishia kunywa sumu kama kamanda akikaacha na kanataka hamia kwa kamanda maana kanakaa kwao,na kwao mambo safi bt kamanda ni graduate anapiga biashara tu,wadau mnasemaje?

hivi watu bado wana poor mindset za hivyo kweli hichi ni kizazi cha ngono kila upande wanaongelea juu ya ngono tu anyway kuchangia hii mada na wizi mtupu
 
Sikujua watu wenye mawazo kama haya bado wana-exist ulimwengu huu.
 
Cutting off the nose to spite the face. Kwanini jamaa hakuweza kumtupilia mbali atulie na huyu aliyenae sasahivi? Yaani mwanamke anakuonesha kabisa kuwa hakujali wala kukuheshimu halafu unaenda kumtwanga mimba eti kumkomoa. Unajikomoa mwenyewe! Yaani huyu ndo unataka umgeuze kuwa housewife/baby mama? Na mpaka ikafika anataka kutoa hiyo mimba kweli huyo mtoto atakuwa salama akizaliwa? Chezea wanawake wa namna hiyo. Ukikuta kakuachia mtoto getini shukuru mungu. Wengine wanaweza kuamua kuua kabisa kukukomoa. I promise you mchezo bado haujaisha. She will have the final word. Jiandae kuwa na presha, mzee.
 
Back
Top Bottom