Haaa dunia imeisha yaani mwanamke hampendi mtu anaenda kumpa hivi hivi hii zinaaa itaisha kweli.na huyo mwanaume mungu atamuonesha dunia kama ndo wewe lako ilo utalinywa
hahaha wewe mie mbona natoaga point za maana tuu....
Point zako huwa ni za migegedo mara nyingi ndio maana leo ulivobadilisha hajaamini majicho maanake hajakutana na neno mgegedo kwenye hiyo quote yako.