MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Mwanangu Olelaigwan lang acha longolongo. Uliwauliza nini hao wote uliowataja kama siyo hisia zako za longolongo. Kama wewe unauliza chupi iko wapi usidhani ni wote. No research no right to speak. Acha kuwadanganya wenzako. Nadhani una tabia ya kukata tamaa na kujichukia. Nenda Tanga kaulize utaambiwa. Naona kama hujafundwa vinginevyo haya ni mambo ya kawaida ambayo ulipaswa kuyajua badala ya kudandia hao wahindi na wazungu. Waswahili nao wanayajua tena kuliko hao wazungu ambao kwa sasa wanaongoza kwa talaka dunia na mapenzi artificial. Hata hao wahindi hawana mapenzi ya kweli zaidi ya kuozeshana kwa nguvu kufuata utajiri.
Nimemshangaa hilo pia! Research kafanyia wapi? Wangapi kawashuhudia wakigegeda na kuulizia ch.u.pi ilipo?
Otherwise ni maneno ya kipuuzi na huyo ambaye unaye ni wa kibiashara zaidi.