we mzabizabina we try to understand usimeze tu mazima mazima tafuna kidogo mkuu....the way nilivyoongelea utaona nimemaanisha imekua ni fashion nowadays kila mtu anaangalia **** na sura nzuri kwanza na shape kwa jumla kama criteria za msingi kabisa na za awali za kuanzisha mahusiano ya mume na mke, ila kiukweli hata mkibisha hadi kesho wengi wao (asilimia kubwa) believe me or do your own research kichwani hamna kitu. na mapedeshee wa jiji watakushikia sana pindi upo safari, Na dada zetu hawajaumbwa kukataa kataa tu, wakati mwingine wananyoosha mikono
hahaha okay kweli nakubaliana na wewe kuwa ukioa mwanamke mwenye **** zuri na sura nzuri utakuwa unakaribisha matatizo lakini kwangu mie naona kwamba ata wale wanawake wakawaida bado wanalambwa tuu na watu. kabla ya kuanza kumfuatilia demu ni muhimu sana ukiwa unavutiwa nae sasa kusema kweli wanaume tunapenda ile shape nzuri kijitako na mtindi vyote hivyo ni vizuri kuangalia na kama mtu katika criteria zako za physical attributes unazotaka katika mwanamke ndio hizo basi ni vyema kutopotezea hivyo vitu bana. hivyo basi nina shauri kabisa kuwa mwanaume asipotezee kabisa hizo physicial attributes na pia ukumbuke tunatofautiana hapo pia.
mwanaume mwenye hekima ataupa uzito pia tabia ya mwanamke kama vile anavyoipa physical attributes uzito. hapa kinacho itajika ni kuwa na usawaziko....hii nikutokana na kwamba hutapata kila kitu unachopenda both in terms of physical and character attributes. ni mbaya sana eti wewe unapenda nyonyo kubwa kisa demu ana tabia nzuri tuu basi wewe wasema ame mke...bliv u me ipo siku utatamka hilo jambo la wewe kupenda nyonyo kubwa na ndio hapo mwanamke ataona kuwa she will never be gud enough for you.
my advise: have a balanced view concerning uzuri na tabia vyote ni muhimu kuzingatia katika kuchagua mke. suala la wazuri kupitiwa mbavuni ata wasio wazuri wanamengwa so dnt even stress. kupitiwa au kuto pitiwa is a matter of choosing the rite woman and u being faithful period!!! alafu kama unataka mwanamke mzuri hakikisha kuwa una mapenez!!!!! gud things dnt come cheap.