Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
[h=6]dogo baada ya kupata vijisentina kujiona tajiri aliamua kumwambia baba yake 'nikulipe nini ili tusijuane baba?' baba akamjibu 'nipe mkeo nimnyonye maziwa kama wewe ulivyomnyonya mke wangu ulipokuwa mdogo'[/h]