Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
Sitaki kuamini kuwa mnyama anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha akili kiasi hiki!Pure science
Majinga sana haya madude.huyu ndege ana akili sana kuliko hili kubwa zima.View attachment 1758935
Hawa wapo trained na ni petsSitaki kuamini kuwa mnyama anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha akili kiasi hiki!Pure science
View attachment 1751035
angekuwa mjinga asingeweza kuzuia kuzaa na huku kashikwa na uchungu..huyu ndege ana akili sana kuliko hili kubwa zima.View attachment 1758935
si ndo ujinga wenyewe huoangekuwa mjinga asingeweza kuzuia kuzaa na huku kashikwa na uchungu..
ni mnyama gani anaweza kujizuia kuzaa wakati uchungu umemkamata.
Jamii ya Kunguru hao. Wapo ndege Ethiopia wao wanapendelea zaid Bone marrow, so anabeba mfupa wa mzoga wa mnyama, anaruka nao juu kabisa halafu anauachia kuelekea chini tena kwenye mwamba ili kuupasua. Wanajifunza ngali wakiwa wadogo.
kwaiyo akiona hatari ajifanye yuko bize kuzaa afu aliwe..hahahasi ndo ujinga wenyewe huo
Unaweza kuthibitisha madai yako?Hawa wapo trained na ni pets
kuna scintist walikuwa wanakamata kunguru kisha wanawafanyia reseach kwa mda kisha wanawachia..
cha ajabu kilichotokea kwa wale kunguru ni kwamba kila wakiona mtu kavaa mask lazma wamghasi sababu wanaona wanaovaa mask ndi wale watesi wao!
hii ilienda kwa zaidi y miaka 10 ilifikia hadi vizazi yaani watoto hadi wajukuu wa kunguru wakikuona anga zao umevaa mask wanakuletea zogo
angekuwa mjinga asingeweza kuzuia kuzaa na huku kashikwa na uchungu..
ni mnyama gani anaweza kujizuia kuzaa wakati uchungu umemkamata.
Ujinga wao nini?Majinga sana haya madude.
Huyu ni moja ya kiumbe anayejielewa.huyu ndege ana akili sana kuliko hili kubwa zima.View attachment 1758935
Hakikaukiua kunguru mmoja mbele ya wengine watakusumbua sana siku za usoni.
😂😂😂😂.huyu ndege ana akili sana kuliko hili kubwa zima.View attachment 1758935
Yes kuna wanyama wengi sana wa wanafanya extra ordinar thingsUnaweza kuthibitisha madai yako?
Utakuta li bongo likubwa tuu Lina 40 au Zaid bado Lina gongea msosi kwa Bimkubwa linashindwa hata na ka ndege kadogo tuSitaki kuamini kuwa mnyama anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha akili kiasi hiki!Pure science
View attachment 1751035
Hukuelewa swali nililokuuliza?Najua kuwa kuna wanyama huwa wanafundishwa kufanya mambo mbalimbali,lakini mimi nimekuuliza juu ya huyu ndege,je unaweza kuthibitisha kuwa huyu ndege specifically amefunzwa kama unavyodai?Yes kuna wanyama wengi sana wa wanafanya extra ordinar things
Ntakupa some egs
View attachment 1759156
View attachment 1759157