Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
Mnakumbuka sakata la yule mama aliyesusiwa mapacha sita na mumewe. mwanamke aliachiwa watoto sita kwa madai kuwa anazaa sana.
Bila shaka alipitia kipindi kigumu sana hadi hapo alipofikia leo,leo hii mama huyu kwa neema za Mungu mama huyu anasomeshewa watoto wake kupitia wasamaria wema tena katika shule za maana.
Nachojiuliza ni kwamba, huyu baba aliyetelekeza familia ana kosa kiasi gani, hatuoni kwamba kupitia yeye huyu mwanamke na wanawe wameneemeka.
Bila shaka alipitia kipindi kigumu sana hadi hapo alipofikia leo,leo hii mama huyu kwa neema za Mungu mama huyu anasomeshewa watoto wake kupitia wasamaria wema tena katika shule za maana.
Nachojiuliza ni kwamba, huyu baba aliyetelekeza familia ana kosa kiasi gani, hatuoni kwamba kupitia yeye huyu mwanamke na wanawe wameneemeka.