kwanini asizichane? kuambiwa alikuwa ana mtu haina shida but kuona na picha inauma sana sana bana.Sioni kama kuna tatizo hasa ukizingatia hawana uhusiano tena. Kumbuka hata kama hana picha lkn bado atakumbuka mahusiano yake ya zamani. Cha msingi ni uaminifu na kuheshimiana.
Wadau habari za jioni,poleni na kazi,
Watu Wameoana,wamezaa watoto 2/3. Mme/Mke anakuonyesha picha za Boyfriend/Girlfriend wake kipindi wako chuo kwenye album yake.yuko yeye katikati halafu pembeni kushoto na kulia marafiki zake.Hii imekaaje?
Unajua tunatofautiana mitazamo na yote ipo sawa. Mimi akinionyesha wala sijikii vibaya cha msingi kwangu ni uaminifu wake tu. Huenda ana sababu za msingi za kutunza picha hizo na ndio maana anazo. Kwa kumuonyesha kua sijali nitamuuliza anajisikiaje anapoziangalia picha hizo.kwanini asizichane? kuambiwa alikuwa ana mtu haina shida but kuona na picha inauma sana sana bana.
Sasa uaminifu si ndo una kipimo.na picha zaweza kuwa kipimo cha kuonyesha unajali,"imani bila matendo imekufa"lazima aonyeshe matendo kwa matendo mazuri,sio ya picha,ina maana siku mkikwaruzana tu ukikumbuka zile picha unajua au ndo anapoozea kule au yule wa kwenye picha anampa kiburi nk.ni mawazo tuuu.Unajua tunatofautiana mitazamo na yote ipo sawa. Mimi akinionyesha wala sijikii vibaya cha msingi kwangu ni uaminifu wake tu. Huenda ana sababu za msingi za kutunza picha hizo na ndio maana anazo. Kwa kumuonyesha kua sijali nitamuuliza anajisikiaje anapoziangalia picha hizo.
Mkuu unachosema hakina ubaya hata kidogo ndio maana nikasema tunatofautiana mitazamo. Kama nitaona jambo hili halinipendezi basi ni bora nikaongea na muhusika na kumwambia yaliyo moyoni mwangu. Pengine mlengwa hajui kama jambo hilo linamkera/kumkwaza mwenzi wake so ni bora kuambizana na ikibidi kwa mtu mwenye busara basi kusitisha hiyo kitu ya kutunza picha(kuziteketeza n.k)Sasa uaminifu si ndo una kipimo.na picha zaweza kuwa kipimo cha kuonyesha unajali,"imani bila matendo imekufa"lazima aonyeshe matendo kwa matendo mazuri,sio ya picha,ina maana siku mkikwaruzana tu ukikumbuka zile picha unajua au ndo anapoozea kule au yule wa kwenye picha anampa kiburi nk.ni mawazo tuuu.
Unajua tunatofautiana mitazamo na yote ipo sawa. Mimi akinionyesha wala sijikii vibaya cha msingi kwangu ni uaminifu wake tu. Huenda ana sababu za msingi za kutunza picha hizo na ndio maana anazo. Kwa kumuonyesha kua sijali nitamuuliza anajisikiaje anapoziangalia picha hizo.
Na ukute jina la mtoto mliye mzaa ana jina la huyo girl/boy friend wake wa zaman.Patamu hapo.......
Kwanini umuoneshe mtu picha kama hutaki zengwe hapo?
Duuu,si atakuambia walishaa chana wamesimama tu wanaongea,atakuambia kwani wewe unaosimama nao wote ni wapenzi wako hata kama hawako kwenye picha?ila monaco mi sion tatizo kwan itasaidia kuwajua wabaya wako cku ukimkuta tu mtaan amesimama na ex hawez kukudanganya