Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,874
- 37,651
Na mawasiliano siku hizi yalivyorahisishwa mtu anaweza kuwa yuko Frankfurt anapanga kujirusha na mpenzi wake wa zamani yuko kasulu.. Chezeya technology weye!!!
Umeona eeh! Utata mtupu!
Na mawasiliano siku hizi yalivyorahisishwa mtu anaweza kuwa yuko Frankfurt anapanga kujirusha na mpenzi wake wa zamani yuko kasulu.. Chezeya technology weye!!!
Wadau habari za jioni,poleni na kazi,
Watu Wameoana,wamezaa watoto 2/3. Mme/Mke anakuonyesha picha za Boyfriend/Girlfriend wake kipindi wako chuo kwenye album yake.yuko yeye katikati halafu pembeni kushoto na kulia marafiki zake.Hii imekaaje?
Nikifanya hivyo mimi ndo ntaumia zaidi kwa wivu,coz mimi siwezi mwanaume huwezi kuwa na picha za utupu,yeye akikuonyesha unaweza lia na kumpigia magoti kuomba suluhu....Na wewe muonyeshe zako, tena zile mlizopiga mkiwa mmekaa ki-hasara hasara.
Mhhh,mother pia aliona hiyo kitu?huwa hawachelewi kusema una mtoto wa nje na yule girlfriend wako.....
Hahahahahahahaha hapana tutaliona soon.Kwa hiyo ndio hatutaliona tena lemba lile hadi Eid ndogo au miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika, whichever comes first!? 🙂🙂
Na ukute jina la mtoto mliye mzaa ana jina la huyo girl/boy friend wake wa zaman.Patamu hapo.......
Kwanini umuoneshe mtu picha kama hutaki zengwe hapo?
hapa kweli itakuwa kuna sababu inatafutwa , si bure!!!!!!
Ngoma iwe Droo,kutafuta picha yoyote...duuu nimeipenda sana blessed hiyooo.Hahahahaha sasa pengine ana historia nae huyo ex wake jamani hebu acheni hizo tatizo liko wapi yeye si tayari kasha kua wako. Labd huyo ex wake ndie alimsaidia kumpa vibomu wakati wako shule na ndivyo vilivyomfanya afike hapo. Hahahahahahah enewei naamini kutakua na sababu muhimu . Mimi nikiiona picha ya ex wake na kama namzidi kwa uzuri mbona atakoma nitamtania mpaka ajute. nikiona jamaa hanielewi basi na mimi natafuta picha yoyote hata kama sikuwahi kua na ex namwambia huyu alikua ex wangu nilimpenda sana ili iwe ngoma droooooo.
kweli bora zichanwe banaaaAnakuonesha ili iweje?anazitunza ili iwaje?kumbukumbu gani ambayo anaona ni muhimu aendelee kuwa nayo? Hii ni dalili ya kukosa ustaarabu! Najiuliza ikitokea siku wakakutana na kubadilshana mawasilino kisha wakaanza kusimuliana enzi zileee huku picha ikiangaliwa kila mara ili kurudisha fikra nyuma je unatarajia nn hapo?...mm sioni mantiki kabisaaa
Unajua tunatofautiana mitazamo na yote ipo sawa. Mimi akinionyesha wala sijikii vibaya cha msingi kwangu ni uaminifu wake tu. Huenda ana sababu za msingi za kutunza picha hizo na ndio maana anazo. Kwa kumuonyesha kua sijali nitamuuliza anajisikiaje anapoziangalia picha hizo.
Cha msingi ni uaminifu na mawasiliano unapoona kitu kisichokupendeza ni vema kuambizanaAtakuambia anajisikia vibaya, kumbe anajisikia vizuri sana anampigia hata simu kwamba wakutane wapi ili wakumbushie.
Hahahahaha issue si kuumizana tu hiyo mbona rahisi sana hata picha ya classmate inatosha halafu unamwambia huyu ulimpenda sana . Tena unatafuta picha ya mtu handsome kumzidi mbona atajinyonga.Ngoma iwe Droo,kutafuta picha yoyote...duuu nimeipenda sana blessed hiyooo.