Katitima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 631
- 122
sioni kama kuna tatizo hasa ukizingatia hawana uhusiano tena. Kumbuka hata kama hana picha lkn bado atakumbuka mahusiano yake ya zamani. Cha msingi ni uaminifu na kuheshimiana.
unafahamuje kuwa hawana mahusiano,huoni kuwa bdo ni wapenz ndo maana anaitunza na kuikumbuka hyo picha?