Hii ni haki

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Jan 12, 2017
4,824
5,560
20703c50a17e2eaf3f6829ffe2fd8ac3.jpg
 
Shame on him.sasa si bora wangezi piga mnada alafu hela zao angewanunulia ata gubiti wajirambe.
 
Vizuri saaana tena hapo kawaonea huruma ingekuwa ni mm ningezichoma KBS puuuumbavuuuuu
 
Ni haki kwa maana sheria ya shule inakataza matumizi ya simu kwa mwanafunzi eneo la shule..Kwa upande wangu sioni cha kujutia hapo kwa maana wanafunzi waliyataka wenyewe.
 
Tena huyo mwalimu ana huruma.Kama angefuata sheria ilivyo,hao wanafunzi wenye hizo simu wangefukuzwa shule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom