Hii ni habari mbaya wajameni.....

Hii ni habari mbaya wajameni.....

PAGAN

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
13,849
Reaction score
23,432
14520589_10154201143149051_4925569796745074516_n.jpg
 
Binaadam wote ni vichaa, sema level za kua kichaa Ndo zimetofautiana ukitaka kujua hilo chunguza pindi mtu anapopata hasira, mambo anayofanya huwa hakuna tofauti na kichaa
 
Binaadam wote ni vichaa, sema level za kua kichaa Ndo zimetofautiana ukitaka kujua hilo chunguza pindi mtu anapopata hasira, mambo anayofanya huwa hakuna tofauti na kichaa
 
Kama binadamu wote ni vichaa ila ni level tu inatofautiana, pia tukubali kuwa binadamu wote ni ma'genius' ila ni level tu inatofautiana!...
 
Binaadam wote ni vichaa, sema level za kua kichaa Ndo zimetofautiana ukitaka kujua hilo chunguza pindi mtu anapopata hasira, mambo anayofanya huwa hakuna tofauti na kichaa
Kama ni ivo hata walofanya utafit nao ni vichaa na walioandika gazeti ni vichaa na mtoa mada nae ivo ivo so hizi ni habar za vichaa ivo tusixiamini.
Wameangalia imewezekanaje CCM imerudi madarakani kwa namna walivyofanya mambo yao kwa miaka 50+ toka uhuru?
 
kichaa kipo ktk ncha arobaini inategemea cha kwako cha ncha ya ngapi
 
Kama ni ivo hata walofanya utafit nao ni vichaa na walioandika gazeti ni vichaa na mtoa mada nae ivo ivo so hizi ni habar za vichaa ivo tusixiamini.

Uandishi wa wapi huu mkuu?.

Heshima kwako.
 
Binaadam wote ni vichaa, sema level za kua kichaa Ndo zimetofautiana ukitaka kujua hilo chunguza pindi mtu anapopata hasira, mambo anayofanya huwa hakuna tofauti na kichaa
Kama binadamu wote ni vichaa ila ni level tu inatofautiana, pia tukubali kuwa binadamu wote ni ma'genius' ila ni level tu inatofautiana!...

We are all stupid,just on different subject-Mark twain.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom