Je ukiitwa we mwanamke??
Uwiiii we mkali aiyayaya!!!Weee ashike adabu yake maana ntakavyomzibua...
Habari wakuu,
Hivi unapokuwa na mpenzi wako kisha mara kadhaa akawa anakuita "wewe" badala ya jina lako au yale ya mahaba mfano bby, honey, swity na mengine kibao je hii inakua ni dharau au kuchokana.
akuite honey kwa lip? Amekuomba just laki 2 ukamnyima kwa kigezo kuwa mapenzi sio pesa, nani kasema mapenzi sio pesa? Ulimkuta ameng'aa sasa ivi kapauka kisa ubahili wako. Kwa nn asikuite wewee????
Uwiiii we mkali aiyayaya!!!
Shida yako jina ama mapenzi?
akuite honey kwa lip? Amekuomba just laki 2 ukamnyima kwa kigezo kuwa mapenzi sio pesa, nani kasema mapenzi sio pesa? Ulimkuta ameng'aa sasa ivi kapauka kisa ubahili wako. Kwa nn asikuite wewee????
Sasa akuite ww dharau hzo kwqn anashindwa kukuita Nick name ya ko
Halafu nimezoea sana hilo neno "wewe".
Kuna likurya limoja job nilikuwa namuita "wewe" akawa anamind kila siku. Ataongea hapo baada ya dakika 5 nimesahau namuita tena "wewe". Akahama ofisi.
akuite honey kwa lip? Amekuomba just laki 2 ukamnyima kwa kigezo kuwa mapenzi sio pesa, nani kasema mapenzi sio pesa? Ulimkuta ameng'aa sasa ivi kapauka kisa ubahili wako. Kwa nn asikuite wewee????