DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
Ujinga upi huo mkereketwa?Kada vp umeacha ule ujinga wako?
Ujinga upi huo mkereketwa?Kada vp umeacha ule ujinga wako?
wa mention unawaogopaLara 1 pia umemsahau
Miss natafta najua hapa
Atapita umbali wa mita 200
Na huu uz
so baby hold on..everything will be just fine ( Unaona sasa umenkumbusha morgan heritage wimbo wao sasa....alaf wew mahondaw wewe [emoji113] [emoji39]Relax man everything gonna be alright!
binafsi nitakua na shaka endapo kama mtoa post utakua ni MTU mzimailihali wapo dada zangu na mama yangu hao hawahusiani hapa!!
mliobaki ambao kaeni chonjo sababu uwezo ninao,nia ninayo na uthubutu ninao!
kiasi mlichoniumiza na kunisigina wanawake imetosha sasa vita nimetangaza kwa huyu niliemfanyia naona haijatosha na kiu yangu haijaisha ya kuwalipizia!
nilimvalisha pete nikampeleka kwetu akanipeleka kwao wazazi wote wakajua namuoa!lakini nilichofanya nikatembea na wadogo zake wawili na akajua kisha kwa uchungu na hasira akaja kunitupia pete ofisini mbele ya staff wenzangu sikujuta ila nilifurahi nikaona amepata kidogo kwa nilichotaraji!!
nachukia wanawake na sitawapenda kwa usaliti walionifanyia.siamini kama maisha yangu yaliyobaki nitapenda tena zaidi za kuigiza tu kama wema!!
ubaya unakuja kwamba uwezo ninao wa kumpata ninaemtaka na kumuumiza nitakavyo!am desperate to see them suffer!
mungu nisaidie kisasi nitaumiza wengi sana kwa kisasi.nitaumiza hata waliomizwa tayari sitajali
What If you don't have a sister?? All u have are Niggas
Ila na nyie sometimes mnatusababishia maumivu sana moyoni!!!Pole kwa yaliokukuta... Ila Unavyozidi kulipiza kisasi ndo unavyizidi kujiangamiza. Waumize waliokuumiza usisambaze chuki yako kwa wadada wa watu walio innocent.
Duuuu , rubi izi aliandia yeye au?
Hapa ndo nnapoona,wengi wao humuNataka kumfungulia mke saluni ya kike ya kisasa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Nataka kumfungulia mke saluni ya kike ya kisasa
Mke wamgu amekuta picha za utupu kwenye memory card | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mke wamgu amekuta picha za utupu kwenye memory card
Mkuu adden Mke wako mliishia naye vipi??
What If you don't have a sister?? All u have are Niggas
What if you don't have a daughter?? Or Ure infertileUr daughter will carry the burden
What if you don't have a daughter?? Or Ure infertile
Yaani kuna wavulana ambao wakikosa kazi wanawaza upupu tuuu, apeleke makengele yake huko ye anafikiri dada ni wakuzaliwa nae tuuNataka kumfungulia mke saluni ya kike ya kisasa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Nataka kumfungulia mke saluni ya kike ya kisasa
Mke wamgu amekuta picha za utupu kwenye memory card | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mke wamgu amekuta picha za utupu kwenye memory card
Mkuu adden Mke wako mliishia naye vipi??
Hahahaa! Maneno kuntuYaani kuna wavulana ambao wakikosa kazi wanawaza upupu tuuu, apeleke makengele yake huko ye anafikiri dada ni wakuzaliwa nae tuu