Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
- Thread starter
- #41
Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii piaHiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)
Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.
Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.
Da'Vinci