Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,280 Jun 14, 2019 #1 Unaporudi nyumbani na kukata hali hii, shirikisha ubongo kabla hujafungua mdomo.
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,955 122,247 Jun 14, 2019 #2 Alinogewa hadi kasahau kutoa vitu alivyokuwa anavitupa hovyo wakati wa kuinjoi raha ya Dunia... Usikute njemba imebana uvunguni inasikilizia msala....
Alinogewa hadi kasahau kutoa vitu alivyokuwa anavitupa hovyo wakati wa kuinjoi raha ya Dunia... Usikute njemba imebana uvunguni inasikilizia msala....
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,280 Jun 14, 2019 Thread starter #3 Mwifwa said: Alinogewa hadi kasahau kutoa vitu alivyokuwa anavitupa hovyo wakati wa kuinjoi raha ya Dunia... Usikute njemba imebana uvunguni inasikilizia msala.... Click to expand... Du katika hali hiyo sijui unafanya nini
Mwifwa said: Alinogewa hadi kasahau kutoa vitu alivyokuwa anavitupa hovyo wakati wa kuinjoi raha ya Dunia... Usikute njemba imebana uvunguni inasikilizia msala.... Click to expand... Du katika hali hiyo sijui unafanya nini
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,955 122,247 Jun 14, 2019 #4 Sky Eclat said: Du katika hali hiyo sijui unafanya nini Click to expand... Hapo huenda kashtukizwa ndio maana anaonekana kapigwa butwaa....
Sky Eclat said: Du katika hali hiyo sijui unafanya nini Click to expand... Hapo huenda kashtukizwa ndio maana anaonekana kapigwa butwaa....
Totos Boss JF-Expert Member Dec 30, 2012 5,456 1,565 Jun 14, 2019 #5 Kama hukua madhubuti hapo unazimia ghafla
nsanzu JF-Expert Member Jul 29, 2015 4,390 4,822 Jun 14, 2019 #6 Ndio mambo ya kuua bila kukusudia yanavyoanzaga
SK2016 JF-Expert Member Apr 6, 2017 7,971 13,663 Jun 15, 2019 #7 Kweli kabisa nsanzu said: Ndio mambo ya kuua bila kukusudia yanavyoanzaga Click to expand...
V Valmg JF-Expert Member Oct 21, 2018 551 809 Jun 15, 2019 #8 Na inaonekana aliekula mzigo ni msela maana viwalo vinajieleza
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,559 142,336 Jun 15, 2019 #9 Mwanamke wake kagongwa... Cc: mahondaw
Equation x JF-Expert Member Sep 3, 2017 29,483 40,499 Jun 16, 2019 #11 Bora baba achepuke atajali mkewe pamoja na familia
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,767 Jun 17, 2019 #12 Valmg said: Na inaonekana aliekula mzigo ni msela maana viwalo vinajieleza Click to expand... Halafu wasela kwa kucheza rafu kata funua kama zote hapo.
Valmg said: Na inaonekana aliekula mzigo ni msela maana viwalo vinajieleza Click to expand... Halafu wasela kwa kucheza rafu kata funua kama zote hapo.
hearly JF-Expert Member Jun 19, 2014 45,622 63,117 Jun 17, 2019 #13 Aanze na upekuzi ndani ya kabati. Kisha Chini ya uvungu mpaka chooni Mwifwa said: Alinogewa hadi kasahau kutoa vitu alivyokuwa anavitupa hovyo wakati wa kuinjoi raha ya Dunia... Usikute njemba imebana uvunguni inasikilizia msala.... Click to expand...
Aanze na upekuzi ndani ya kabati. Kisha Chini ya uvungu mpaka chooni Mwifwa said: Alinogewa hadi kasahau kutoa vitu alivyokuwa anavitupa hovyo wakati wa kuinjoi raha ya Dunia... Usikute njemba imebana uvunguni inasikilizia msala.... Click to expand...
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,413 36,573 Jun 18, 2019 #14 Njemba litakuwa chini ya bed,hapo bora kukaa kimya tu, mwanamke atakimbia mwenyewe maana unaweza kwenda jela bure
Njemba litakuwa chini ya bed,hapo bora kukaa kimya tu, mwanamke atakimbia mwenyewe maana unaweza kwenda jela bure