Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Wakuu nimempakia abiria wangu mzungu kutoka wavuvi Hadi mikocheni kwa warioba akanipa hii akaniambia nimrudishie 5000..Sasa hi itakuwa Bei gani je kanipiga?
Unaturingishia dola kumi
Feki hiyoWakuu nimempakia abiria wangu mzungu kutoka wavuvi Hadi mikocheni kwa warioba akanipa hii akaniambia nimrudishie 5000..Sasa hi itakuwa Bei gani je kanipiga?View attachment 2945055
Bhasi faida 20000 nshakuwa mtamu tayri25000 yakitanzania
Acha hizoFeki hiyo
job truetrueHela nyingi sana hiyo.
TAFUTA BODYGUARD KUANZIA SASA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Sure. Nipe namba yako nataka uwe boda boda wanguAcha hizo
Dola 10 tu 😂Sure. Nipe namba yako nataka uwe boda boda wangu
Kivipi faida ni 20,000 au piki piki yako inatumia mtori Mkuu na hapo bado hujajilipa kilomita ulizotembea.Bhasi faida 20000 nshakuwa mtamu tayri