Kuna shida gani kwenye viwanda vya karatasi, bei ya ream iko juu sana, tsh 15,000/=

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,729
2,082
Wadau salaam.

Serikali ijaribu kutupa jicho huko kwenye viwanda hivi.

Karatasi zinatumika sana mashuleni na hasa mwanzo wa mwaka.Wanafunzi wanaagiziwa kupeleka karatasi shuleni kwa ajili ya kuchapisha mitihani yao.

Miaka ya nyuma kidogo bei ya ream ilikuwa tsh 3500 hadi 5000,lkn ghafla unashangaa bei imepanda zaidi ya asilimia mia moja. Kulikoni.

Kuna shida gani huko kwenye viwanda..!!!?

Wadau hebu saidieni hii bei inaweza ruka tena hadi 25,000/=

Hizi ni ream za karatasi 500 kwa bando moja ambazo zinatumika sana mashuleni.
 
Wadau salaam.

Serikali ijaribu kutupa jicho huko kwenye viwanda hivi.

Karatasi zinatumika sana mashuleni na hasa mwanzo wa mwaka.Wanafunzi wanaagiziwa kupeleka karatasi shuleni kwa ajili ya kuchapisha mitihani yao.

Miaka ya nyuma kidogo bei ya ream ilikuwa tsh 3500 hadi 5000,lkn ghafla unashangaa bei imepanda zaidi ya asilimia mia moja. Kulikoni.

Kuna shida gani huko kwenye viwanda..!!!?

Wadau hebu saidieni hii bei inaweza ruka tena hadi 25,000/=

Hizi ni ream za karatasi 500 kwa bando moja ambazo zinatumika sana mashuleni.
Kuna kiwanda kinatengengeneza Rim hapa bongo?

Kodi itakuwa tatizo
 
Wadau salaam.

Serikali ijaribu kutupa jicho huko kwenye viwanda hivi.

Karatasi zinatumika sana mashuleni na hasa mwanzo wa mwaka.Wanafunzi wanaagiziwa kupeleka karatasi shuleni kwa ajili ya kuchapisha mitihani yao.

Miaka ya nyuma kidogo bei ya ream ilikuwa tsh 3500 hadi 5000,lkn ghafla unashangaa bei imepanda zaidi ya asilimia mia moja. Kulikoni.

Kuna shida gani huko kwenye viwanda..!!!?

Wadau hebu saidieni hii bei inaweza ruka tena hadi 25,000/=

Hizi ni ream za karatasi 500 kwa bando moja ambazo zinatumika sana mashuleni.
Wapi huko ream inauzwa 15000/=, maana mwaka wa 3 huu ream 22000
 
Kuna hii kitu wamiliki wa mashule washaona ulaji ss tena wanasisitiza lazima kununua shuleni na si vingnevyo ..Ream ya 12 inauzwa 20,000 file la 2000 linauzwa elf 4500 daftrI la 2000 linauzw 3500 wamekuwa na ujizi flan hivi usiombe mwanao apoteze kitabu bei inakatibia ada ya robo muhula
 
Back
Top Bottom