Hii ni bahati au nini jamani

Hii ni bahati au nini jamani

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,415
Niliendaga kuomba kazi sehemu ilikuwa ni kazi ya udereva, kumuendesha mzungu mmoja wa kampuni flani alikuwa ni engineer wao.

Nilikuwa sina hata sifa ya kupata ile kazi, ila yule mzungu alivyoniona alinipenda sana, akanitengenezea karatasi feki nipeleke ofisini kwake na kweli nilivyopeleka nikaingia kwenye interview na yeye akapendekeza mimi nichukuliwe kumuendesha ,sasa mnasemaje hapo
 
Mshukuru Mungu wako kwa kukujaalia kupata kazi kuliko kujipa sifa za kuwa na bahati.

Ila kuwa makini wazungu wana tumambo twa ajabu ajabu. Usikute kakupendea mengine hasa mkiwa wote wa jinsia moja.
Kuna mwamba humu alileta kisa cha Kaka Muarabu angalia na wewe usije ukatuletea kisa cha Mjomba Mzungu tu.
 
Niliendaga kuomba kazi sehemu ilikuwa ni kazi ya udereva,kumuendesha mzungu mmoja wa kampuni flani alikuwa ni engineer wao,nilikuwa sina hata sifa ya kupata ile kazi,ila yule mzungu alivyoniona alinipenda sana,akanitengenezea karatasi feki nipeleke ofisini kwake na kweli nilivyopeleka nikaingia kwenye interview na yeye akapendekeza mimi nichukuliwe kumuendesha ,sasa mnasemaje hapo
Usije badilishwa jinsia na kaka yako mzungu kama VIKITIM na kaka yake mwarabu
 
Niliendaga kuomba kazi sehemu ilikuwa ni kazi ya udereva,kumuendesha mzungu mmoja wa kampuni flani alikuwa ni engineer wao,nilikuwa sina hata sifa ya kupata ile kazi,ila yule mzungu alivyoniona alinipenda sana,akanitengenezea karatasi feki nipeleke ofisini kwake na kweli nilivyopeleka nikaingia kwenye interview na yeye akapendekeza mimi nichukuliwe kumuendesha ,sasa mnasemaje hapo


Mkuu, sio masihara hebu zingatia huo ushauri No 2.
 
Wazungu kufoji ni ngumu sana labda wachina au wahindi ndio wapenda shortcuts.
Wewe ni jinsia gani?
 
hatuna la kusema zaidi ya hongera ,piga kazi tu kingine msaidiane katika kazi maana kuna mtu kapendwa na kaka mwarabu kapewa kazi zaidi ya kazi

Ivi uyo jamaa yupo sijui anaendelea vipi! Maana nilimwona mpuuzi tu anaenjoy watu akili na kupromote ushoga nikaamua kuleft ule uzi mazima
 
Mzungu kufoji hapo inaniwia ngumu kuamini...

Kuwa mwaminifu na ujali sana muda.. utapata zaidi ya kazi
 
Back
Top Bottom