Mkondakaiye
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 838
- 174
- Thread starter
- #41
Kilichosababisha kufeli pia inatakiwa tukumbuke wanafunzi hawa wamefanya mtihani tofauti na miaka ya nyuma kwani ndo walianzisha mfumo wa KUSHED kwa maswali ya multiple choice tu kitu ambacho ndo kinaendelea kudidimiza elimu yetu sijawahi kuona mwanafunzi anajibu mtihani wa Hesabu kwa multiple choice hawa akina Mulugo wanakotupeleka sio kwenyewe.
Kushed (kusiliba vyumba vya majibu) sio sababu ya wanafunzi kufeli kwani Dr ndalichako ni makini sana, alichukua sample ya baadhi ya wilaya walimu wakasahihisha. na baada ya zoezi hilo majibu yalikuwa sawa na mashine ilivyo sahihisha. so haya matokeo ni matunda ya ccm kutotilia maanani elimu.