Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Basi ndo ujue kuna CompetitionMkuu hayo maelezo yako yanaukweli wowote maana yule binti ninampango wa kumjumlisha kwenye ratiba yangu hivi karibuni.
Basi ndo ujue kuna CompetitionMkuu hayo maelezo yako yanaukweli wowote maana yule binti ninampango wa kumjumlisha kwenye ratiba yangu hivi karibuni.
Povu.Hiyo TV na Radio walijitahidi kujifanya hawapo upande wowote,lakini CHUKI ZAO KWA WCB WAMESHINDWA KUZIFICHA,NA SASA WANAONYESHA UHALISIA WAO.Halafu wanajikuta hawawezi kufanya lolote la kuiangusha WCB,ila wamebaki na kurusha madongo yasiyokuwa na madhara kwa WCB.