Hii ni adhabu? Au life goes on.

Hii ni adhabu? Au life goes on.

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
Watoto hawa wanaonekana wapo katika shughuli zao za kawaida.
 

Attachments

  • kls-wmkccm.jpg
    kls-wmkccm.jpg
    43.2 KB · Views: 178
pheeeeeeeeeeeew! nimekumbuka utotoni, enzi zile mvua na radi inapiga we ndo kwanza unatoka nje kukimbia na kucheza kwenye mvua
 
Huo ni Uhalisia zaidi , maisha ndivyo yalivyo. Tulioondokana na adha hiyo tujenge misingi ya kujali wengine hii ni hapo kenya. Soma picha. Enzi ya ujima bado ipo miongoni mwa AFRICA. nashauri tuzibuke kuona mwanga mbele.
 
Kumbe huko kenya watoto wanadharirishwa hinyo??
 
Back
Top Bottom