Hii ndoa inanivunja moyo, najuta kwanini nilimuoa huyu mwanamke

Wakati ukiendelea kutafuta suluhisho hata baada ya suluhisho hakikisha hulali kizembe lala kimachale ulinde roho yako isinyofolewe na mai waifu wako
ahahahahaaaaa, sawa mkuu, my waifu asije akanikill
 
Mkuu umeongelea ishu ya mkeo kuripoti matatizo yenu kwa wazazi wake na wa kwako. Nadhani kitu ambacho umeficha ni kwamba wewe hujatulia, either ni kicheche au kwa ujumla umempa mashaka kuhusu uaminifu wako katika ndoa na ndio maana reaction yake imekua ya namna hiyo. Na pia ndio sababu anatabia ya kuripoti matatizo kwa wazazi wenu.
 
mkuu umenipa ushauri mzuri sana, ntaufanyia kazi...hahahaaaa, ila makofi mawili matatu sikuchezea
 
Kama huyo dada sio mchepuko wako kwa nini ulipoona text kwamba umpigie ulienda kumpigia sebuleni na si hapo hapo chumbani? ulitaka kuficha nini?

Binafsi sioni kosa la mkeo bali wewe ndio kimeo.
 
Sa mbona unaongea kwa mahisia
yani hapa nahisi sijafit the way jamaa alivyokuwa ananihadithia, maana nilimuona ana jeraha ndio akanipa full stori, akanitaka na ushauri. Alikuwa ana hisia kali sana, utamuonea huruma. Na mimi nimeamini kweli hakuwa na kosa, maana nilimbana sana akasema hajawahi msaliti mkewe tangu afunge ndoa
 
Wanawake wazuri waadilifi hamtuoi mnaenda kuowa wauaji mwanamke unashikaje kisu huyo mwangalie sana pole mwaya
kweli mkuu, ila suala la kumpata mwenzi NDOA sometimes ni kama kucheza BIKO tu. Maana ni ngumu kujua kama mtu unaendana nae
 
Umesema huyo dada anaebleed ni Nani yako?
Huyo dada ni rafiki wa muda mrefu kabla hata hajamjua mke wa ndoa. Na hakuwa wazi kutaja ugonjwa wake, jamaa ndio alimhoji sana na kumwambia mficha maradhi kifo kitamuumbua, ndio akafunguka kuwa ana bleed mfululizo
 
inabidi wanandoa wachunguzane childhood zao zilikuwaje.

Some kids have been traumatized and they have walked around with these loads into adulthood without knowing they have them or even how to let go.

Matokeo yake ndo kama haya.
 
hizo ndundi zenu aisee
Pole sana mkuu Mungu akutie nguvu.
Oeni wanawake wenye busara jamani ili kuepukana na ndundi zisizo na Ring
wakati mwingine huwa najiuliza ninapokua na mwanaume amenikosea wakati mwingine unaona kabisa 90% ni makosa
Lakini naamua kumpa nafasi ya kujitetea maana wakati mwingine makosa ni misunderstanding tu ..unaweza kuona kitu kumbe sivyo kilivyo.
Je kukaa na kuzungumza nae ni busara au ni ujinga kumpa nafasi ajitetee kwanza kabla sijafanya maamuzi magumu.
Kama ndio ivyo mkuu wangu bora hizi busara zangu aisee, na huyo mkeo katia fora na mavisu na michi ya kutwangia hivi hakuogopi
mimi nnavyoogopa kuchafuliwa sura yangu au mwili aisee siwezi kuanzisha beef hata siku1
 
nmecheka mno
 
Aisee mm bado cjaoa hapo cna ushauri ila nimependa ulivosimulia mlivokuwa mnagombana pls unaweza endeleza story

İla pole sana ndugu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…