Hii ndo UDOM!

Mbona hili ni tatizo la HESLB sasa na wala sio UDOM au sijaelewa?

nami naona ni hivyo,ila hali inapokuwa mbaya chuo huwa kinaingilia kati,chuo ni wanafunz na kama chuo ni wanafunz basi ni lazima uongoz wa chuo uwe unasimamia kila jambo linalowahusu wanafunz,,,,,sasa kwa sasa watasomaje wakat hawana pesa ya kula,ya madesa,
 
Taarifa za chini kutoka kwenye uongozi wa chuo zinasema kuwa hadi sasa hakuna fedha yoyote kutoka HESLB, hivyo kutokana na ungozi wa chuo kuona matatizo waliyo nayo wanafunzi hasa ukosefu wa chakula umesema ifikapo tar 4 ya mwezi wa june kama hela hiyo itakuwa haijafika chuo itawalizimu kufunga chuo mpaka pale serikali itakapopata fedha. Je mimi nauliza hawalitambui kuwa mambo kama haya yanawahalibu wanafunzi kisikolojia ktk masomo yao.serikali ni kweli wamekuwa masikini hadi wa kukosa fedha ya kuwakopa wanafunzi huu ni upumbavu ambao wanaufanya ni vyema nchi hii kuongozwa kidikitata kuliko kuwa na serikali mgando kama hii.


Sasa unadhani heading yako inahusiana na ulichoandika? Andika HONGERA UONGOZI WA UDOM bwana, Hili c tatizo la chuo, ni tatizo la serikali yako.
 
.....sidhani kama hao wana udom wana njaa ya ukweli...
Wangeshawasha moto.
Ok. Vizuri kuwa na subira.
 
Washeni moto vijana wa udom,achen kulia lia ovyo bila kutikisa kiberiti.
 
hiki chuo cha kata kina vijimambo sijui kwanini hawagomi.

Kata (maana)

Kata ni neno la Kiswahili linaloweza kumaanisha:

Kata(kitenzi) – tendo la kuachanisha au
kutenganisha katika vipande vipande kwa
mfano kukata mti au nyama.

Kata(nomino) – neno hili humaanisha
migawanyiko ya maeneo katika miji ambayo
huwa na viongozi katika ngazi hiyo.

Kata(nomino) - Kifaa kinachotumika kunywea
pombe za asili.

Kata(nomino) - Kifaa au aina ya nguo,
kitambaa au majani amayo hutumika
kujitwishia vitu vizito kichwani kama ndoo ya
maji.

Unamaanisha kata ipi?
 
Back
Top Bottom